Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Mose 8:18-19

2 Mose 8:18-19 SRB37

Waganga nao walipofanya hivyo, watokeze mbu kwa uganga wao, hawakuweza; nao wale mbu wakawauma watu na nyama. Ndipo, walipomwambia Farao: Hiki ndicho kidole chake Mungu! Lakini moyo wake Farao ukashupaa, asiwasikie, kama Bwana alivyosema.

Soma 2 Mose 8