Yohana 11:25-26
Yohana 11:25-26 SRB37
Yesu akamwambia: Mimi ndio ufufuko na uzima; anitegemeaye atapata uzima, ajapokufa. Kila aliye mzima na kunitegemea hatakufa kale na kale. Unavitegemea hivi?
Yesu akamwambia: Mimi ndio ufufuko na uzima; anitegemeaye atapata uzima, ajapokufa. Kila aliye mzima na kunitegemea hatakufa kale na kale. Unavitegemea hivi?