Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 2:9

1 Wakorintho 2:9 BHN

Lakini, ni kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mambo ambayo jicho halijapata kuyaona, wala sikio kuyasikia, mambo ambayo binadamu hajapata kuyafikiria moyoni, hayo ndiyo Mungu aliyowatayarishia wale wampendao.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wakorintho 2:9