Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wathesalonike 5:16-18

1 Wathesalonike 5:16-18 BHN

Furahini daima, salini kila wakati na kuwa na shukrani katika kila hali. Hayo ndiyo anayotaka Mungu kwenu katika kuungana kwenu na Kristo Yesu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wathesalonike 5:16-18