Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Mambo ya Nyakati 30:9

2 Mambo ya Nyakati 30:9 BHN

Mkimrudia Mwenyezi-Mungu, wale ambao waliwateka ndugu zenu na watoto wenu, watawahurumia na kuwaacha warudi katika nchi hii. Kwa maana Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ni mwenye rehema na huruma, naye atawapokea ikiwa mtamrudia.”