Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wakorintho 5:18-19

2 Wakorintho 5:18-19 BHN

Yote ni kazi ya Mungu mwenye kutupatanisha sisi naye kwa njia ya Kristo, na kutupa jukumu la kuwapatanisha watu naye. Ndiyo kusema: Mungu, amekuwa akiupatanisha ulimwengu naye kwa njia ya Kristo, bila kutia maanani dhambi zao binadamu. Yeye ametupa ujumbe kuhusu kuwapatanisha watu naye.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Wakorintho 5:18-19