Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Samueli 16:11-12

2 Samueli 16:11-12 BHN

Tena mfalme Daudi akamwambia Abishai na hata watumishi wake wote, “Ikiwa mtoto wangu mwenyewe anayawinda maisha yangu, je si zaidi mtu wa kabila la Benyamini? Nyinyi mwacheni anilaani kwani Mwenyezi-Mungu amemwagiza anilaani. Huenda Mwenyezi-Mungu akaangalia uovu wangu, naye akanilipa wema kwa laana hii ninayopata leo.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Samueli 16:11-12