Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 4:13

Matendo 4:13 BHN

Hao wazee wa Baraza, wakiwa wanajua kwamba Petro na Yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. Wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na Yesu.