Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wakolosai 2:16-17

Wakolosai 2:16-17 BHN

Kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya mwezi mpya au Sabato. Mambo ya aina hiyo ni kivuli tu cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wakolosai 2:16-17