Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu la Sheria 1:17

Kumbukumbu la Sheria 1:17 BHN

Msimpendelee mtu yeyote katika kutoa hukumu; mtawasikiliza bila upendeleo, wakubwa kwa wadogo. Msitishwe na mtu yeyote, maana hukumu mnayotoa inatoka kwa Mungu. Kesi yoyote ikiwa ngumu zaidi kwenu, ileteni kwangu, nami nitaisikiliza.’