Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu la Sheria 11:26-28

Kumbukumbu la Sheria 11:26-28 BHN

“Angalieni, leo hii nawawekea mbele yenu baraka na laana: Baraka, kama mtatii amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ambazo nawapeni hivi leo; na laana, kama hamtazitii amri za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, na kuiacha njia ninayowaamuru, mkaabudu miungu mingine ambayo hata hamjawahi kuijua.