Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu la Sheria 5:9-10

Kumbukumbu la Sheria 5:9-10 BHN

“ ‘Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu. Nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wale wanichukiao. Lakini nawafadhili maelfu ya wale wanipendao na kuzishika amri zangu.