Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 4:14-15

Waefeso 4:14-15 BHN

Basi, hatutakuwa tena kama watoto, tukitupwa na kupeperushwa huko na huko kwa kila upepo wa mafundisho wanayozua watu wadanganyifu ili wawapotoshe wengine kwa hila. Kama tukiuzingatia ukweli kwa moyo wa mapendo tutakua katika kila jambo kulingana na Kristo ambaye ndiye kichwa

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waefeso 4:14-15