Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Esta 8:11

Esta 8:11 BHN

Kwa njia ya nyaraka hizi mfalme aliwaruhusu Wayahudi katika kila mji kukusanyika ili kuyalinda maisha yao. Walikuwa na ruhusa ya kuharibu, kuua bila huruma na kuangamiza kundi lolote la watu au mkoa, lenye kuwashambulia kwa silaha pamoja na wanawake na watoto wao, na kuziteka nyara mali zao.

Soma Esta 8

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Esta 8:11