Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 4:11-12

Kutoka 4:11-12 BHN

Hapo Mwenyezi-Mungu akamwuliza, “Ni nani aliyeumba kinywa cha mtu? Ni nani amfanyaye mtu kuwa bubu au kiziwi? Aone au awe kipofu? Je, si mimi Mwenyezi-Mungu? Basi, nenda! Mimi nitakiongoza kinywa chako na kukufundisha cha kusema.”

Soma Kutoka 4

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 4:11-12