Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 1:10-11

Ezekieli 1:10-11 BHN

Kuhusu nyuso zao nne kila mmoja wao alikuwa na uso wa binadamu upande wa mbele, uso wa simba upande wa kulia, uso wa ng'ombe upande wa kushoto, na uso wa tai upande wa nyuma. Mabawa mawili ya kila mmoja yalikuwa yamekunjuliwa juu na kugusana na kwa mabawa yale mengine mawili walifunika miili yao.

Soma Ezekieli 1

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 1:10-11