Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Habakuki 3:17-18

Habakuki 3:17-18 BHN

Hata kama mitini isipochanua maua, wala mizabibu kuzaa zabibu; hata kama mizeituni isipozaa zeituni, na mashamba yasipotoa chakula; hata kama kondoo wakitoweka zizini, na mifugo kukosekana mazizini, mimi nitaendelea kumfurahia Mwenyezi-Mungu nitamshangilia Mungu anayeniokoa.

Soma Habakuki 3