Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohane 10:12

Yohane 10:12 BHN

Mtu wa kuajiriwa ambaye si mchungaji, na wala kondoo si mali yake, anapoona mbwamwitu anakuja, huwaacha kondoo na kukimbia, kisha mbwamwitu huwakamata na kuwatawanya.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yohane 10:12