Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yobu 11:13-15

Yobu 11:13-15 BHN

“Yobu, ukiufanya moyo wako mnyofu, utainua mikono yako kumwomba Mungu! Kama una uovu, utupilie mbali. Usikubali ubaya uwemo nyumbani mwako. Hapo utajitokeza mbele ya watu bila lawama, utakuwa thabiti bila kuwa na hofu.

Soma Yobu 11