Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yoshua 20:6

Yoshua 20:6 BHN

Mwuaji ataendelea kuishi humo mpaka hapo atakapohukumiwa mbele ya jumuiya nzima ya Israeli na pia mpaka hapo yule kuhani mkuu ambaye alikuwa na madaraka wakati huo amefariki. Baada ya hapo mtu huyo ataweza kurudi nyumbani kwake katika mji ule alikotoroka.”

Soma Yoshua 20