Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 17:15-16

Luka 17:15-16 BHN

Mmoja wao alipoona kwamba ameponywa, alirudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa. Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria.