Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 2:11

Mathayo 2:11 BHN

Basi, wakaingia nyumbani, wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake; wakapiga magoti, wakamsujudia. Kisha wakafungua hazina zao, wakampa zawadi: Dhahabu, ubani na manemane.