Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 21:9

Mathayo 21:9 BHN

Makundi ya watu waliomtangulia na wale waliomfuata wakapaza sauti: “Sifa kwa Mwana wa Daudi! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana! Sifa kwa Mungu juu!”