Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 14:23-24

Marko 14:23-24 BHN

Kisha akatwaa kikombe cha divai, akamshukuru Mungu, akawapa; wote wakanywa kutoka kikombe hicho. Akawaambia, “Hii ni damu yangu inayothibitisha agano la Mungu, damu inayomwagwa kwa ajili ya watu wengi.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 14:23-24