Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 5:8-9

Marko 5:8-9 BHN

Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.”) Basi, Yesu akamwuliza, “Jina lako nani?” Naye akajibu, “Jina langu ni ‘Jeshi,’ maana sisi tu wengi.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 5:8-9