Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Nehemia 3:1

Nehemia 3:1 BHN

Basi Lango la Kondoo lilijengwa upya na Eliashibu, kuhani mkuu, pamoja na ndugu zake waliokuwa makuhani. Waliliweka wakfu na kutia milango yake; wakaliweka wakfu tangu Mnara wa Mia Moja hadi Mnara wa Hananeli.

Soma Nehemia 3