Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Nehemia 8:6

Nehemia 8:6 BHN

Ezra akamshukuru Mwenyezi-Mungu, Mungu Mkuu na watu wote wakaitikia “Amina! Amina!” Huku wakiwa wameinua mikono yao juu. Kisha wakamsujudia Mungu huku nyuso zao zikigusa ardhi.

Soma Nehemia 8