Nehemia 8:6
Nehemia 8:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Ezra akamshukuru Mwenyezi-Mungu, Mungu Mkuu na watu wote wakaitikia “Amina! Amina!” Huku wakiwa wameinua mikono yao juu. Kisha wakamsujudia Mungu huku nyuso zao zikigusa ardhi.
Shirikisha
Soma Nehemia 8Nehemia 8:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ezra akamhimidi BWANA, Mungu Mkuu. Nao watu wote wakaitika, Amina, Amina, pamoja na kuinua mikono yao; kisha wakainamisha vichwa vyao, wakamsujudu BWANA kifudifudi.
Shirikisha
Soma Nehemia 8