Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 14:6-7

Hesabu 14:6-7 BHN

Yoshua, mwana wa Nuni, na Kalebu, mwana wa Yefune, ambao walikuwa miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza hiyo nchi, wakazirarua nguo zao na kuiambia jumuiya yote ya Waisraeli, “Nchi tuliyokwenda kuipeleleza ni nzuri kupita kiasi.

Soma Hesabu 14