Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 146:7-8

Zaburi 146:7-8 BHN

Yeye huwapatia wanaoonewa haki zao, huwapa wenye njaa chakula. Mwenyezi-Mungu huwapa wafungwa uhuru, huwafungua macho vipofu. Mwenyezi-Mungu huwainua waliokandamizwa; huwapenda watu walio waadilifu.

Soma Zaburi 146