Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 10:9-10

Ufunuo 10:9-10 BHN

Basi, nikamwendea huyo malaika, nikamwambia anipe hicho kitabu kidogo. Naye akaniambia, “Kichukue, ukile. Kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali, lakini tumboni kitakuwa kichungu!” Basi, nikakichukua kitabu hicho kidogo kutoka mkononi mwa huyo malaika, nikakila. Nacho kilikuwa kitamu kinywani mwangu kama asali, lakini nilipokimeza kikawa kichungu tumboni mwangu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 10:9-10