Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 17:8

Ufunuo 17:8 BHN

Huyo mnyama uliyemwona, alikuwa hai hapo awali lakini sasa amekufa. Hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni kuzimu, lakini ataangamizwa. Wanaoishi duniani watashangaa; naam, watu wote ambao majina yao hayakupata kuandikwa katika kitabu cha uhai tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo mnyama ambaye hapo awali aliishi, kisha akafa na sasa anatokea tena!

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 17:8