Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 19:20

Ufunuo 19:20 BHN

Lakini huyo mnyama akachukuliwa mateka pamoja na nabii wa uongo aliyekuwa akifanya miujiza mbele yake. (Kwa miujiza hiyo, alikuwa amewapotosha wale waliokuwa na chapa ya huyo mnyama, na ambao walikuwa wameiabudu sanamu yake). Huyo mnyama pamoja na huyo nabii walitupwa wote wawili, wakiwa wazimawazima, ndani ya ziwa linalowaka moto wa madini ya kiberiti.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 19:20