Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 10:15

Waroma 10:15 BHN

Na watu watahubirije kama hawakutumwa? Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri Habari Njema!”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waroma 10:15