Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 6:17-18

Waroma 6:17-18 BHN

Ingawa mlikuwa watumwa wa dhambi zamani, sasa lakini – namshukuru Mungu – mmetii kwa moyo wote yale maazimio na mafundisho mliyopokea. Mlikombolewa kutoka utumwa wa dhambi, mkawa watumwa wa uadilifu

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waroma 6:17-18