1 Yohane 2:1
1 Yohane 2:1 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki
Shirikisha
Soma 1 Yohane 21 Yohane 2:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Watoto wangu, ninawaandikieni mambo haya, kusudi msitende dhambi. Lakini, ikijatokea mtu akatenda dhambi, tunaye mmoja ambaye hutuombea kwa Baba, ndiye Yesu Kristo aliye mwadilifu kabisa.
Shirikisha
Soma 1 Yohane 2