2 Wakorintho 6:16
2 Wakorintho 6:16 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 62 Wakorintho 6:16 Biblia Habari Njema (BHN)
Hekalu la Mungu lina uhusiano gani na sanamu za uongo? Maana sisi ni hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu mwenyewe alivyosema: “Nitafanya makao yangu kwao, na kuishi kati yao. Nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 62 Wakorintho 6:16 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 6