2 Wafalme 19:15
2 Wafalme 19:15 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Naye Hezekia akamwomba BWANA akisema: “Ee BWANA, Mungu wa Israeli, uketiye juu ya kiti cha enzi kati ya makerubi, wewe peke yako ndiwe Mungu juu ya falme zote za dunia. Wewe umeumba mbingu na nchi.
Shirikisha
Soma 2 Wafalme 192 Wafalme 19:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Halafu akamwomba Mwenyezi-Mungu akisema, “Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, unayekaa katika kiti cha enzi juu ya viumbe wenye mabawa, ni wewe tu uliye Mungu, unayetawala falme zote za ulimwengu. Wewe uliumba nchi na mbingu.
Shirikisha
Soma 2 Wafalme 19