Matendo 26:31 - Linganisha Matoleo Yote
Matendo 26:31 BHN (Biblia Habari Njema)
Walipokwisha ondoka, waliambiana, “Mtu huyu hakufanya chochote kinachostahili adhabu ya kifo au kifungo.”
Shirikisha
Matendo 26 BHNMatendo 26:31 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
hata walipoondoka wakasemezana, wakisema, Mtu huyu hatendi neno linalostahili kifo wala kufungwa.
Shirikisha
Matendo 26 SUVMatendo 26:31 SRUV (Swahili Revised Union Version)
hata walipoondoka wakasemezana, wakisema, Mtu huyu hatendi neno linalostahili kifo wala kufungwa.
Shirikisha
Matendo 26 SRUVMatendo 26:31 NEN (Neno)
Walipokuwa wakiondoka, wakaambiana, “Mtu huyu hafanyi jambo lolote linalostahili kifo au kifungo.”
Shirikisha
Matendo 26 NEN