Mhubiri 2:26
Mhubiri 2:26 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kwa sababu Mungu humpa yeye aliyemridhia hekima na maarifa na furaha; bali mkosaji humpa taabu, ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye Mungu amridhia. Hayo nayo ni ubatili na kujilisha upepo.
Shirikisha
Soma Mhubiri 2Mhubiri 2:26 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu humjalia mtu apendezwaye naye hekima, akili na furaha; lakini humpa mwenye dhambi kazi ya kuvuna na kurundika, kisha akampa anayempendeza yeye Mungu. Yote hayo pia ni bure kabisa; ni sawa na kufukuza upepo.
Shirikisha
Soma Mhubiri 2