Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 2:26

Mhubiri 2:26 BHN

Mungu humjalia mtu apendezwaye naye hekima, akili na furaha; lakini humpa mwenye dhambi kazi ya kuvuna na kurundika, kisha akampa anayempendeza yeye Mungu. Yote hayo pia ni bure kabisa; ni sawa na kufukuza upepo.

Soma Mhubiri 2