Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhu 2:26

Mhu 2:26 SUV

Kwa sababu Mungu humpa yeye aliyemridhia hekima na maarifa na furaha; bali mkosaji humpa taabu, ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye Mungu amridhia. Hayo nayo ni ubatili na kujilisha upepo.