Waebrania 10:24-25
Waebrania 10:24-25 Biblia Habari Njema (BHN)
Tujitahidi kushughulikiana kwa ajili ya kuongezeana bidii ya kupendana na kutenda mema. Tusiache ile desturi ya kukutana pamoja, kama vile wengine wanavyofanya. Bali tunapaswa kusaidiana kwani, kama mwonavyo, siku ile ya Bwana inakaribia.
Shirikisha
Soma Waebrania 10Waebrania 10:24-25 Swahili Revised Union Version (SRUV)
tukaangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana katika upendo na kazi nzuri; wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri muonavyo siku ile kuwa inakaribia.
Shirikisha
Soma Waebrania 10Waebrania 10:24-25 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
tukaangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana katika upendo na kazi nzuri; wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.
Shirikisha
Soma Waebrania 10