Waebrania 4:11
Waebrania 4:11 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Basi, na tufanye bidii kuingia katika raha ile, ili kwamba mtu ye yote asije akaanguka kwa mfano uo huo wa kuasi.
Shirikisha
Soma Waebrania 4Waebrania 4:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, tujitahidi kuingia katika pumziko hilo, ili asiwepo yeyote miongoni mwetu atakayekataa kutii kama walivyofanya wao.
Shirikisha
Soma Waebrania 4