Waebrania 4:14
Waebrania 4:14 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Basi, iwapo tunaye kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu, Mwana wa Mungu, na tuyashike sana maungamo yetu.
Shirikisha
Soma Waebrania 4Waebrania 4:14 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, tuzingatie kwa makini imani tunayoiungama. Maana tunaye Kuhani Mkuu aliyeingia mpaka mbinguni; Yesu, Mwana wa Mungu.
Shirikisha
Soma Waebrania 4