Waebrania 8:10
Waebrania 8:10 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Maana hili ndilo agano nitakaloagana na nyumba ya Israeli Baada ya siku zile, asema Bwana; Nitawapa sheria zangu katika nia zao, Na katika mioyo yao nitaziandika; Nami nitakuwa Mungu kwao, Nao watakuwa watu wangu.
Shirikisha
Soma Waebrania 8Waebrania 8:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Hili ndilo agano nitakalofanya na watu wa Israeli siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu akilini mwao, na kuziandika mioyoni mwao. Mimi nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
Shirikisha
Soma Waebrania 8