Isaya 39:8
Isaya 39:8 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Hezekia akamjibu Isaya, “Neno la BWANA ulilosema ni jema.” Kwa kuwa alifikiri, “Patakuwepo amani na usalama wakati wa uhai wangu.”
Shirikisha
Soma Isaya 39Isaya 39:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Naye Hezekia akamwambia Isaya, “Neno la Mwenyezi-Mungu ulilosema ni sawa.” Alisema hivyo kwani alifikiri, “Kutakuwa na amani na usalama muda wote niishipo.”
Shirikisha
Soma Isaya 39