Isaya 53:2
Isaya 53:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana alikuwa mbele zake kama mche mwororo, Na kama mzizi katika nchi kavu; Yeye hana umbo wala uzuri; Na tumwonapo hana uzuri hata tumtamani.
Shirikisha
Soma Isaya 53Isaya 53:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana, mbele yake Mwenyezi-Mungu, mtumishi wake alikua kama mti mchanga, kama mzizi katika nchi kavu. Hakuwa na umbo wala sura ya kutupendeza, wala hakuwa na uzuri wowote wa kutuvutia.
Shirikisha
Soma Isaya 53