Yohane 1:3-4
Yohane 1:3-4 Biblia Habari Njema (BHN)
Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye. Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu.
Shirikisha
Soma Yohane 1Yohane 1:3-4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
Shirikisha
Soma Yohane 1