Methali 13:14 - Linganisha Matoleo Yote
Methali 13:14 BHN (Biblia Habari Njema)
Mafundisho ya wenye hekima ni chemchemi ya uhai; humwezesha mtu kuiepa mitego ya kifo.
Shirikisha
Methali 13 BHNMethali 13:14 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sheria ya mwenye akili ni chemchemi ya uzima, Ili kuepukana na tanzi za mauti.
Shirikisha
Methali 13 SUVMethali 13:14 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Sheria ya mwenye akili ni chemchemi ya uzima, Ili kuepukana na tanzi za mauti.
Shirikisha
Methali 13 SRUVMethali 13:14 NEN (Neno)
Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi ya uzima, ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.
Shirikisha
Methali 13 NEN